Mtumiaji:Arthurbuliva
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Wikipedia:Babel | |||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
|
|||||||||
Mie Mkenya. Kenya nilizaliwa na kulelewa huku.
Futi tano inchi kumi na moja ninasimama. Kwa sasa ninakilo sabini uzani. Nywele nyeusi ya Kiafrika na maumbile mengi ambazo huwezi ukanitofautisha na sehemu nyingine ya ulimwengu.
Tuendelee kuongea
Barua pepe: arthurbuliva AT gmail DOT com