Mtume Thoma
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Mitume wa Yesu |
|---|
|
Thoma au Didimo, yaani Pacha ni jina la mmojawapo kati ya Mitume wa Yesu anayeheshimiwa kama mtakatifu, kwa namna ya pekee na Wakristo wa maeneo yaliyokuwa mashariki kwa Dola la Roma, kuanzia Iraq hadi India.
Inawezekana kwamba sababu yake ni kazi alizofanya huko hadi kifodini chake huko Chennai (Tamil Nadu) mwaka 72.
Alikuwa mtu mwenye tabia ya pekee iliyomvutia umaarufu hadi leo. Hasa alielekea kukata tamaa, kupinga hoja na kutosadiki kwa urahisi. Hata hivyo, Injili ya Yohane ambayo ndiyo inayomzungumzia zaidi katika Biblia ya Kikristo, inaripoti jibu lake la mwisho kwa Yesu mfufuka kama ifuatavyo(Yoh 20:28): "Bwana wangu na Mungu wangu"!
Marejeo[hariri]
- Thenashara, Mitume Kumi na Wawili – tafsiri ya P. A. Bunju – Toleo la pili – ed. Benedictine Publications Ndanda Peramiho – Ndanda 1984 – ISBN 9976-63-030-1
Viungo vya nje[hariri]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- St. Thomas the Apostle
- The Life of St. Thomas the Apostle of Jesus Christ
- Apostle in India, The tomb of the Apostle
- Mylapore santhomechurch built over the tomb of St. Thomas
- St. Thomas Indian Orthodox Church – Greater Washington
- A.E. Medlycott, India and the Apostle Thomas, London 1905 (e-text)
- Niranam Valiyapally and St. Thomas
- St.Thomas Christian History and Culture
- The Nasrani Syrian Christians Network
- Thomasine Church
- Official Site of the Malankara Mar Thoma Syrian Church
- Mar Thoma Churches all over the world
- Passages to India
- Orthodox Church Portal
- Indian Orthodox Church
- Holy, Glorious Apostle Thomas Orthodox icon and synaxarion for 6 Oktoba
- Apostle Thomas—Synaxis of the Holy Apostles Orthodox icon and synaxarion for 30 Juni
- Icon of the Mother of God Arapet (Arabian) Orthodox icon and synaxarion for 6 Septemba
| Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mtume Thoma kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |