Mtume Simoni Mkananayo
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Mitume wa Yesu |
|---|
|
Sanamu iliyoko Bruges inayomuonyesha akiwa na msumeno, chombo ambacho inasemekana kilitumika kumuulia.
Simoni Mkananayo alikuwa mmojawapo kati ya Mitume wa Yesu.
Ili kumtofautisha na mtume mwenzake Simoni Petro anaitwa Mkananayo, yaani Mwenye juhudi kwa ukombozi wa Israeli kutoka ukoloni wa Roma.
Jina lake linapatikana katika orodha zao zote, lakini hatuna habari zake zaidi, isipokuwa masimulizi mbalimbali yasiyo na hakika.