Mtume Simoni Mkananayo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Mitume wa Yesu

Sanamu iliyoko Bruges inayomuonyesha akiwa na msumeno, chombo ambacho inasemekana kilitumika kumuulia.

Simoni Mkananayo alikuwa mmojawapo kati ya Mitume wa Yesu.

Ili kumtofautisha na mtume mwenzake Simoni Petro anaitwa Mkananayo, yaani Mwenye juhudi kwa ukombozi wa Israeli kutoka ukoloni wa Roma.

Jina lake linapatikana katika orodha zao zote, lakini hatuna habari zake zaidi, isipokuwa masimulizi mbalimbali yasiyo na hakika.

Inasadikika kuwa kaburi lake liko Komani (Georgia).

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine