Monica Ngenzi Mbega
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| This article is an orphan, as few or no other articles link to it. Please introduce links to this page from related articles; suggestions may be available. |
Monica Ngenzi Mbega (amezaliwa tar. 22 Aprili 1956) ni mbunge wa jimbo la Iringa Mjini katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia [hariri]
Marejeo [hariri]
- ↑ Mengi kuhusu Monica Ngenzi Mbega (13 Julai 2006). Rudishwa juu ya 11 Novemba 2011.
| Makala hiyo kuhusu wanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |