Momozono

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Momozono (14 Aprili, 174131 Agosti, 1762) alikuwa mfalme mkuu wa 116 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Toohito. Tarehe 9 Juni, 1747 alimfuata baba yake, Sakuramachi, na kuwa mfalme hadi kifo chake. Aliyemfuata ni dada yake, Go-Sakuramachi.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Momozono" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Momozono kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi