Momozono
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Momozono (14 Aprili, 1741 – 31 Agosti, 1762) alikuwa mfalme mkuu wa 116 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Toohito. Tarehe 9 Juni, 1747 alimfuata baba yake, Sakuramachi, na kuwa mfalme hadi kifo chake. Aliyemfuata ni dada yake, Go-Sakuramachi.
| Makala hiyo kuhusu "Momozono" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Momozono kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |

