Mkoa wa Simiyu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Mkoa wa Simiu)
Rukia: urambazaji, tafuta

Mkoa wa Simiyu ni kati ya mikoa 30 ya Tanzania. Makao makuu yako Bariadi.

Ulianzishwa rasmi Machi 2012 kwa kumega mkoa wa Shinyanga upande wa mashariki.

[hariri] Wilaya

Mkoa huo mpya una wilaya zifuatazo: Bariadi, Busega, Maswa, Meatu, Itilima.

[hariri] Wakazi

Kabila kubwa ni lile la Wasukuma.

[hariri] Viungo vya nje


 
Mikoa ya Tanzania
Bandera Tanzania
Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Geita | Iringa | Kagera | Katavi | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Njombe | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Simiyu | Singida | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi
Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa