Mkoa wa Simiyu
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Mkoa wa Simiu)
Mkoa wa Simiyu ni kati ya mikoa 30 ya Tanzania. Makao makuu yako Bariadi.
Ulianzishwa rasmi Machi 2012 kwa kumega mkoa wa Shinyanga upande wa mashariki.
[hariri] Wilaya
Mkoa huo mpya una wilaya zifuatazo: Bariadi, Busega, Maswa, Meatu, Itilima.
[hariri] Wakazi
Kabila kubwa ni lile la Wasukuma.
[hariri] Viungo vya nje
|
|
|
|---|---|
| Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Geita | Iringa | Kagera | Katavi | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Njombe | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Simiyu | Singida | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi | |