Mkoa wa Moyen-Comoé

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Mkoa wa Moyen-Comoé
Nembo ya Cote d'Ivoire
Nembo ya Cote d'Ivoire
Mahali pa Mkoa wa Moyen-Comoé katika Cote d'Ivoire
Mahali pa Mkoa wa Moyen-Comoé katika Cote d'Ivoire
Anwani ya kijiografia: 6°30′N 3°25′W / 6.5°N 3.417°W / 6.5; -3.417
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Côte d'Ivoire
Wilaya 3
Mji mkuu Abengourou
Eneo
 - Mkoa 6.900 km²
Idadi ya wakazi (1998)
 - Mji 394.741
Time zone GMT (UTC+0)


Mkoa wa Moyen-Comoé (far.: Région du Moyen-Comoé) ni moja kati ya mikoa 19 ya huko nchini Cote d'Ivoire. Iko katika Mashariki ya nchi. Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 394.741. [1]

Kuna wilaya 3 ambazo ni

Makao makuu yako Abengourou.

Marejeo [hariri]

  1. Namba za sensa ya mwaka 1998 kufuatana na


 
Mikoa ya Cote d'Ivoire
Bandera Cote d'Ivoire
Agnéby | Bafing | Bas-Sassandra | Denguélé | Fromager | Haut-Sassandra | Lacs | Lagunes | Marahoué | Montagnes | Moyen-Cavally | Moyen-Comoé | N'zi-Comoé | Savanes | Sud-Bandama | Sud-Comoé | Vallée du Bandama | Worodougou | Zanzan
+/-