Mkoa wa Kaskazini (Zambia)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa mkoa wa Kaskazini katika Zambia

Mkoa wa Kaskazini (Northern Province) ni moja ya mikoa 9 ya kujitawala ya Zambia lenye wakazi 1,258,696 kwenye eneo la 147,826 km². Mji mkuu ni Kasama.

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Miji mikubwa ni pamoja na Kasama na Chilubi.

Chambeshi na Luangwa ni mito muhimu zaidi.

Picha za Kaskazini[hariri | hariri chanzo]


WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Makala hii kuhusu maeneo ya Zambia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Kaskazini (Zambia) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.



 
Mikoa ya Zambia
Bandera ya Zambia
Copperbelt | Kaskazini | Kaskazini-Magharibi | Kati | Kusini | Luapala | Lusaka | Magharibi | Mashariki
+/-