Friuli-Venezia Giulia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Friuli-Venezia Giulia katika Italia.

Friuli-Venezia Giulia ni mkoa wa Italia wenye katiba ya pekee.

Uko upande wa kaskazini mashariki wa rasi ya Italia na unapakana na nchi jirani za Austria na Slovenia.

Mji mkuu wake ni Trieste.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]


 
Mikoa ya Italia
Mikoa ya kawaida
Abruzzo | Basilicata | Calabria | Campania | Emilia-Romagna | Lazio | Liguria | Lombardia | Marche | Molise | Piemonte | Puglia (Apulia) | Toscana | Umbria | Veneto |
Mikoa yenye katiba ya pekee
Friuli-Venezia Giulia | Sardinia | Sisilia | Trentino-Alto Adige | Valle d'Aosta
Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Friuli-Venezia Giulia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.