Mkoa wa Chuquisaca
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Chuquisaca katika Bolivia
Chuquisaca ni jina la kutaja mkoa ulioko nchini Bolivia. Mji mkuu wake ni Sucre.
Tazama pia[hariri]
Viungo vya nje[hariri]
- (Kihispania) Maelezo ya Chuquisaca
| Makala hii kuhusu maeneo ya Bolivia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Chuquisaca kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |