Mkarafuu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mkarafuu
(Syzygium aromaticum)
Mikarafuu
Mikarafuu
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Myrtales (Mimea kama mkarafuu)
Familia: Myrtaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mkarafuu)
Jenasi: Syzygium
Spishi: S. aromaticum
(L.) Merr. & L.M. Perry, 1939

Mkarafuu (Syzygium aromaticum) ni mti wa familia Myrtaceae. Macho ya maua yake yaliyokauka huitwa karafuu na kutumika kwa kiungo katika aina nyingi za chakula. Vikonyo vya maua huitwa makonyo na hutumika kama mbadala rahisi wa karafuu.

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkarafuu kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.