Milton Makongoro Mahanga
Milton Makongoro Mahanga (amezaliwa tar. 3 Aprili 1955) ni mbunge wa jimbo la Ukonga katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ [Mengi kuhusu Milton Makongoro Mahanga. Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-18. Iliwekwa mnamo 2010-11-13. Mengi kuhusu Milton Makongoro Mahanga]
Viungo vya nnje[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |