Milima ya Ural
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kwa maana mengine ya neno hili tazama hapa
Milima ya Ural (Kirusi: Ура́льские го́ры - uralskiye gory) ni safu ya milima nchini Urusi inayoelekea kutoka kaskazini kwenda kusini kwa urefu wa kilomita 2,500.
Hutazamiwa kama mpaka unaotenganisha Ulaya na Asia.
Jiografia [hariri]
Upande wa kusini safu ya Ural inaanza katika tambarare za Kazakhstan ikiendelea upande wa kaskazini hadi Bahari ya Aktiki. Kisiwa cha Novaya Zemlya ni sehemu ya kijiografia ya Ural.
Mlima mrefu wa Ural ni mlima Narodnaya (Poznurr, 1895 m).
Viungo vya Nje [hariri]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
| Makala hii kuhusu maeneo ya Urusi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Milima ya Ural kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |