Mhanga
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Mhanga | ||||||||||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mhanga
|
||||||||||||||||
| Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
||||||||||||||||
Usambazaji wa mhanga
|
Mhanga (pia muhanga), fundi-mchanga, kiharara, kukukifuku au loma (Orycteropus afer) ni mnyama wa Afrika aliye spishi ya pekee ya oda Tubulidentata ambayo inaishi hadi sasa. Wahanga hula chungu na mchwa. Wanatokea pande nyingi za Afrika chini kwa Sahara.
| Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mhanga kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |