Meisho
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Meisho (9 Januari, 1624 – 4 Desemba, 1696) alikuwa mfalme mkuu wa 109 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Okiko. Tarehe 22 Desemba, 1629 alimfuata baba yake, Go-Mizunoo, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu tarehe 14 Novemba, 1643. Aliyemfuata ni mdogo wake Go-Komyo.
| Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Japani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Meisho kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |