Mdumu mwitu
|
|
Makala hii au sehemu ya makala hii inahitaji vyanzo au au marejeo yoyote. Tafadhali saidia kuboresha makala hii kwa kuweka vyanzo vya kuaminika. Habari zizizowekewa vyanzo kuna uwezekano wa kuwekewa vikwazo na kuondolewa. (June 2009) |
Mdumu mwitu ni mmea unaokula nyama kwa kutumia mtego uliochimbuka wenye maji ndani. Imedhaniwa kuwa mitego hii yenye maji ndani iliibuka kutoka matawi yaliyojikunja, huku mabadiliko ya viumbe yakipendelea matawi yenye michimbuko mikubwa zaidi katika kipindi cha miaka mingi.
Hata hivyo, baadhi ya midumu mwitu wa jenasi kama ile ya Nepenthes wanajumuishwa katika kikundi tofauti cha mimea wenye matawi kama karatasi yenye gundi. Hili linaonyesha kuwa mtazamo kuwa midumu mwitu iliibuka kutoka matawi yaliyojikunja huenda hukawa si wa kweli.
Bila kujali jinsi mmea huu ulivyobadilika, wadudu wanaotambaa na wanaoruka ikiwemo nzi huvutiwa kwa mchimbuko huo ulioundwa na tawi, mara nyingi kwa rangi na maji yenye sukari. Pande za tawi huenda zikawa zinateleza na zimeumbwa kwa njia inayowafanya wadudu washindwe kutoka pindi wanapoingia ndani.
[hariri] Marejeleo zaidi
- Schnell, Donald (2003). Carnivorous Plants of the United States and Canada. Second Edition. Timber Press, Oregon, U.S.A.
| Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mdumu mwitu kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |