Mchicha
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Mchicha (Amaranthus) |
||||||||||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mchicha
|
||||||||||||||||
| Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Mchicha (Amaranthus spp.) ni jamii mojawapo ya mboga za majani. Hutumika sana na watu wengi katika Afrika ya Mashariki. Husaidia katika kuona.