Matai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Matai
Matai is located in Tanzania
Matai
Matai

Mahali pa Matai katika Tanzania

Majiranukta: 8°17′52″S 31°31′18″E / 8.29778°S 31.52167°E / -8.29778; 31.52167
Nchi Tanzania
Mkoa Rukwa
Wilaya Katambo
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 15,452

Matai ni mji mdogo na makao maku ya Wilaya ya Kalambo katika Mkoa wa Rukwa, Tanzania. Kata hii iliwahi kuwa sehemu ya Wilaya ya Sumbawanga Vijijini ikahamishwa kwenye wilaya mpya ya Kalambo mwaka 2012.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 15,452 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ya Matai ilikuwa na wakazi wapatao 16,335 waishio humo.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Kalambo - Mkoa wa Rukwa - Tanzania

Kanyezi | Kasanga | Katazi | Katete | Kilesha | Kisumba | Legezamwendo | Lyowa | Mambwekenya | Mambwe Nkoswe | Matai | Mbuluma | Mkali | Mkowe | Mnamba | Mpombwe | Msanzi | Mwazye | Mwimbi | Samazi | Sopa | Sundu | Ulumi

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Rukwa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Matai kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.