Mary Nagu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Mary Nagu (amezaliwa tar. 11 Mei 1952) ni mbunge wa jimbo la Hanang katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia [hariri]

Marejeo [hariri]

  1. Mengi kuhusu Mary Nagu (3 Juni 2008). Rudishwa juu ya 11 Novemba 2011.