Maporomoko ya Kalambo
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Maporomoko ya Kalambo ni maporomoko ya maji ambayo yapo karibu na mpaka wa Zambia na Ziwa Tanganyika. Maporomoko hayo yanatoka kutoka umbali wa mita 215 na kuyafanya maporomoko hayo kuwa ya pili kwa urefu baada ya maporomoko ya Tugela ya nchini Afrika Kusini ambayo ni ya kwanza kwa urefu Afrika.[1]
Marejeo [hariri]
- ↑ Vitabu vya Jiografia – Jiografia ya Tanzania
Viungo vya Nje [hariri]
| Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Maporomoko ya Kalambo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |