Manfred Eigen

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Manfred Eigen (amezaliwa 9 Mei, 1927) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza athari mbalimbali za kikemia. Mwaka wa 1967, pamoja na Ronald Norrish na George Porter alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Manfred Eigen" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Manfred Eigen kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi