Majadiliano:Muungano wa Afrika

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Haifai kuunganishwa na "Umoja wa Muungano wa Afrika". Umoja huu ulikuwa shirika la kimataifa, lakini hapa makala inahusu harakati ya kujenga umoja wa Afrika. --Kipala (majadiliano) 22:23, 7 Agosti 2010 (UTC)[jibu]

Mimi ningeweka kichwa "Muungano wa Waafrika", kwa kuwa ni pamoja na watu wa nje ya bara wenye asili ya Afrika. --Riccardo Riccioni (majadiliano) 11:51, 22 Februari 2015 (UTC)[jibu]