Majadiliano:Mlima Kenya

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Makala inaonekana imenakiliwa kutoka dirisha la google-translate bila kusoma hata mara moja.

  1. lugha haieleweki
  2. kuna makala ya Kenya (mlima) tayari na mchangiaji alifuta mwelekezo bila kujal
  3. uwingi wa habari katika makala hii umebatilishwa na uwingi wa lugha baya na kutojali umbo la makala.
  4. bado kazi nyingi isipotakiwa kufutwa

--Kipala (majadiliano) 20:56, 11 Desemba 2009 (UTC)[jibu]

Mimi naona bora sijui tusawazishe? Au shindano haliruhusu?--Muddyb MwanaharakatiLonga 06:18, 12 Desemba 2009 (UTC)[jibu]