Majadiliano:Chingis Khan

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nimeshangaa: kwa nini jina hili kwa herufi za Kirusi??? Hajawahi kuandika jina lake hivyo. Ameshambulia mataifa mengi waliokuwa na maandishi mbalimbali. (Halafu: jina lake kwa Kirusi ni Чингисхан tu - katika wikipedia ya Kiingereza wamenakili mengine kutoka wikipedia ya Kirusi ambayo si Kirusi bali Kimongolia nk. kwa herufi za Kirusi)