Majadiliano:Baraza la Kiswahili la Taifa

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Majadiliano:BAKITA)

Usuli za Bakita[hariri chanzo]

Nimeondoa sehemu kuhusu "usuli" kwa sababu

  1. ) ilikuwa na makosa (Zanzibar haikutawaliwa na Ujerumani, hofu ya Umaksi haikuwa sababu ya kuchagua Kiswahili kama lugha za utawala)
  2. ) ilikosa marejeo / vyanzo kabisa
  3. ) ilikuwa na sehemu ya Kiingereza
  4. ) nilishindwa kusahihisha sehemu kwa sababu sina habari kuhusu historia hii. Kipala (majadiliano) 12:28, 7 Januari 2022 (UTC)[jibu]