Mwanzo
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka
Main Page)
Kamusi Elezo ya Kiswahili
|
Karibu kwenye Wikipedia ya Kiswahili!
Wikipedia ni mradi wa kuandika kamusi elezo kamili na sahihi ya maandishi huru.
Kila mtu anaweza kuhariri makala yoyote, kutoa makosa ya lugha, kutohoa maneno na kuendeleza na kukuza makala, kwa kuandika kwa ufupi au kwa urefu. Angalia Msaada wa kuanzisha makala ili ujifunze unavyoweza kuhariri au kusanifisha ukurasa. Usisite kushiriki; kwa sababu huu ni mradi wa ushirikiano, na hautaisha kamwe. Kamusi elezo itaimarika vizuri zaidi kila wakati. Angalia ukurasa wa jumuia, ukurasa wa jamii, na ule wa makala za msingi za kamusi elezo ili kung'amua unaweza kufanya kazi zipi ili kuboresha Wikipedia.
|
Je, wajua...
|
Kutoka kwenye mkusanyiko wa makala za Wikipedia:
|
|
|
Makala ya wiki
|
Tangazo
Kuanzia Mei 27 2013 tutaona mabadailiko katika utaratibu wa majina ya akaunti za watumiaji waliojiandikisha.
Wengi wetu wamejiandikisha katika Wikipedia ya Kiswahili ambayo ni wiki mmoja kati ya wiki 900 chini ya Wikimedia. Lakini wengine wana pia akaunti kwenye English Wikipedia, Commons, na kadhalika. Hadi sasa tuliweza kuchagua jina la akaunti jinsi tulivyopenda; yaani kama jina halikuchukuliwa na mwingine tayari tuliweza kulichagua.
Kwa hiyo iliwezakana ya kwamba watumiaji mbalimbali waliweza kuchagua jina lilelile kwenye wiki tofauti bila kujua. Yaani imewezekana Sam wa sw.wikipedia alikuwa mtu tofauti na Sam wa en.wikipedia au Sam wa de.wiktionary. Kutokana na ushirikiano wa karibu zaidi kati ya aina za wiki hali hii ilisababisha usumbufu na kazi nyingi.
Kuanzia 27 Mei kutakuwa na kila jina mara moja tu na hii kwa wiki zote za Wikimedia. Kuanzia sasa kama mtu yeyote anafungua akaunti mpya na kuchagua jina atapimwa na orodha ya Wikimedia yote itakayomrihusu kuchagua jina Fulani kama hili halikuchukuliwa bado na mt mwingine katika wiki yoyote chini ya Wikimedia.
Lakini wale wenye majina yanayopatikana pia katika wiki nyingine wataona usumbufu kidogo wakitafakari kubadilisha majina yao.
Kwa mfano kama hao akina Sam wa mfano wa juu wataona majina yao kubadilishwa kuwa
- a) Sam~ sw.wikipedia
- b) Sam~ en.wikipedia
- c) Sam~ de.wiktionary
maana haitawezekana tena kutumia jina lilelile kwa watu tofauti wenye wiki tofauti.
Programu itaendelea kutambua michango yako yote ya awali na kila mtu anayerejea mchango wako atakutambua.
Ila tu kama unaathiriwa na mabadiliko haya na hupendi kuendelea na hili jina refu – basi kila mmoja aende hapa Meta na kutafuta jina jipya. Hata hili jina mpya iunganishwa na mchango yote ya awali. ►Soma zaidi
|
|
|
Picha nzuri ya wiki
|
|
Ng'ombe ni wanyama wakubwa wa jenasi Bos. Spishi ya ng'ombe ina nususpishi au aina nyingi lakini ni spishi moja tu.
Ng'ombe hula manyasi na kutembea kwa vidole viwili. Asili yake ni aina za ng'ombe wa pori waliofugwa kwa sababu ya nyama na maziwa. Katika nchi nyingi anatumiwa pia kama mnyama wa mizigo anayevuta plau au magari.
Wataalamu huamini ya kwamba aina zote za ng'ombe zina asili katika mashariki ya kati mnamo milenia ya 9 KK ambako watu waliwahi kuwafuga nas kutoka hapa ufugaji ng'ombe ulisambaa kote duniani.
|
|
Jumuia za Wikimedia
Kamusi elezo ya Wiki ni kamusi elezo huru iliyo chini ya
Shirika Lisilo la Kiserikali la
Wikimedia Foundation, ambalo linasimamia miradi mingine mbalimbali ambayo imeorodheshwa hapo chini. Mpaka sasa miradi inayopatikana Kiswahili ni Wikipedia na Wikamusi. Wikitabu imewekwa Kiswahili lakini bado ni tupu. Mengine inapatikana Kiingereza pamoja na lugha tofauti.
Wikipedia kwa lugha nyingine
| Wikipedia kwa lugha nyingine |
|
|