Magdalena wa Nagasaki

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Magdalena katika mavazi ya Waaugustino.

Magdalena wa Nagasaki (|長崎のマグダレナ|Nagasaki no Magudarena) alikuwa mtawa wa Kanisa Katoliki kutoka Nagasaki, Japani, ambaye alifia dini yake mjini huko tarehe 16 Oktoba 1634 akiwa na umri wa miaka 23.

Wazazi wake walitangulia kufia dini mwaka 1620 hivi.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri mfiadini tarehe 18 Februari 1981 na mtakatifu tarehe 18 Oktoba 1987.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 28 Septemba, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 15 Oktoba[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.