Maajabu ya dunia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

(Elekezwa kutoka Maajabu saba ya dunia)
Maajabu saba ya dunia ya kaleOrodha ya makala yafuatana na picha hizi saba
Maajabu saba ya dunia ya kale
Orodha ya makala yafuatana na picha hizi saba

Maajabu ya dunia ilikuwa orodha ya majengo saba ya pekee iliyojulikana kwa Wagiriki wa kale.

Mara ya kwanza majengo haya yalitajwa na mwandishi Herodoti (mnamo 450 KK). Wagiriki waliita majengo haya ΤÀ ΕΠΤÀ ΘΕÁΜΑΤΑ ΤΗΣ ΟΙΚΟΥΜÉΝΗΣ (ΓΗΣ) ta hepta theamata tes oikumenes (ges) - Maajabu saba ya dunia inayokaliwa).

[hariri] Maajabu saba ya Kale

  1. Piramidi za Giza (Misri ya Kale)
  2. Mabustani ya Semiramis (Babeli)
  3. Hekalu ya Artemis mjini Efeso (Asia Ndogo)
  4. Sanamu ya Zeus mjini Olympia (Ugiriki ya Kale)
  5. Kaburi la Mausolo mjini Halicarnasso (Uajemi)
  6. Sanamu ya Kolossos kisiwani Rhodos (Ugiriki ya Kale)
  7. Mnara wa Pharos ya Aleksandria (Misri)

Piramidi pekee zimebaki hadi leo.

[hariri] Tazama pia

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Maajabu ya dunia" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Maajabu ya dunia kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi