Luvua

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Gari likivushwa katika Mto Luvua

Luvua ni mto wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Chanzo chake ni Ziwa Mweru mpakani mwa Kongo na Zambia. Mdomo uko katika mto Lualaba ambao ni tawimto wa Kongo.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Luvua kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.