Luvua
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Luvua ni mto katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Chanzo chake ni Ziwa Mweru mpakani wa Kongo na Zambia. Mdomo uko Lualaba ambayo ni tawimto wa Kongo.
| Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Luvua kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |