Lugha za Kislavoni

Kutoka Wikipedia

Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Magharibi ni lugha rasmi;    Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Mashariki ni lugha rasmi; Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Kusini ni lugha rasmi
Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Magharibi ni lugha rasmi;
Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Mashariki ni lugha rasmi;
Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Kusini ni lugha rasmi

Lugha za Kislavoni ni kikundi cha lugha chenye asili ya Ulaya ya Mashariki. Jumla kuna wasemaji milioni 300 wanaosema lugha ya Kislavoni kama lugha ya mama pamoja na wengine 100 wanotumia lugha hizi kama lugha ya pili. Lugha hizi ni sehemu za familia ya lugha za Kihindi-Kiulaya.

Lugha za Kislavoni zenye wasemaji wengi ni Kirusi (milioni 140 wasemji kama lugha ya kwanza, wengine milioni 110 kama lugha ya pili), halafu Kiukraine na Kipoland (kila moja lenye wasemaji milioni 50).

Lugha hizi zapangwa kwa vikundi vitatu:

Orodha hii haitaji lugha zote za Kislavoni.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Lugha za Kislavoni" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Lugha za Kislavoni kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi