Lugha za Kenya
- Tazama Pia: Mfumo wa Lugha Nyingi nchini Kenya
Kenya ni nchi ya Lugha nyingi.Lugha zake za taifa ni Kiswahili and Kiingereza. Kuna jumla ya Lugha 62 zinazozungumzwa nchini Kenya (Kulingana na Ethnologue), nyingi zao zikiwa za asili ya Kiafrika na baadhi ya lugha za asili ya Kiasia na Mashariki ya Kati.
Yaliyomo |
Familia za Lugha[hariri]
Lugha za asili ya Kiafrika zimetokana na familia Tatu:
- Bantu ambayo inazungumzwa katika maeneo ya Kati na kusini Mashariki
- Nailoti (Nilotes) ambayo inapatikana Mgharibi
- Kushaiti (Cushites) Kaskazini-Mashariki mwa Nchi
Orodha ya Lugha[hariri]
A-E[hariri]
G-N[hariri]
O-T[hariri]
U-Z[hariri]
Tazama Pia[hariri]
Mfumo wa Lugha Nyingi, Kenya Lugha rasmi
Virejeleo[hariri]
Viungo vya Nje[hariri]
- Ethnologue Ukurasa kwa Kenya
- National Public Radio story about Kisii language from All Things Considered program, 29 Aprili 2006
- PanAfriL10n page on Kenya
|
||||||||||||||
| Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Lugha za Kenya kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
| Makala language-related bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |