Lugha ambishi bainishi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Lugha ambishi bainishi ni kundi la lugha ambamo maneno huwa na viambishi, na viambishi vyenyewe hujidhihirisha moja kwa moja. Maana yake, mizizi ya maneno huweza kujitokeza waziwazi, na mara nyingi mizizi ya maneno haichanganyi na viambishi.

Lugha nyingi za Kibantu ni lugha ambishi bainishi, zikiwa pamoja na Kiswahili.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Lango:Lugha

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lugha ambishi bainishi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.