Ludovick John Mwanazila

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ludovick John Mwanazila (amezaliwa tar. 8 Januari 1950) ni mbunge wa jimbo la Kalambo katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Ludovick John Mwanazila". 10 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-19. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.