Lemuri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Lemuroidea)
Lemuri
Lemuri mkia-miviringo
Lemuri mkia-miviringo
Uainishaji wa kisayansi
Domeni: Eukaryota (Viumbe walio na seli zenye kiini)
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Primates (Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)
Nusuoda: Strepsirrhini (Wanyama wanaofanana zaidi na lemuri)
Oda ya chini: Lemuriformes (Wanyama kama lemuri)
Familia ya juu: Lemuroidea (Lemuri)
Ngazi za chini

Familia 8:

Lemuri (kutoka Kiingereza: lemur) ni aina za kima awali wa familia ya juu Lemuroidea katika nusuoda Strepsirrhini (kima wa kweli ni wana wa Haplorrhini). Wanatokea Madagaska tu. Kama kima wana mkia mrefu, kucha fupi na pana na kidole kwa kila mkono na mguu kilicho na uwezo wa kupinga vidole vingine. Lakini tofauti na kima wana pua nyevu na bongo dogo kwa ulinganisho wa ukubwa wa mwili.

Mwainisho[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.