Lemuri-mwanzi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lemuri-mwanzi
Lemuri-mwanzi mkubwa
Lemuri-mwanzi mkubwa
Uainishaji wa kisayansi
Domeni: Eukaryota (Viumbe walio na seli zenye kiini)
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Primates (Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)
Nusuoda: Strepsirrhini (Wanyama wanaofanana zaidi na lemuri)
Oda ya chini: Lemuriformes (Wanyama kama kima)
Familia ya juu: Lemuroidea (Lemuri)
Familia: Lemuridae (Lemuri walio na mnasaba na Lemuri mkia-miviringo)
Jenasi: Hapalemur I. Geoffroy, 1851

Prolemur Gray, 1871

Spishi: H. alaotrensis Rumpler, 1975

H. aureus Meier et al., 1987
H. gilberti Rabarivola et al., 2007
H. griseus (Link, 1795)
H. meridionalis Warter, 1987
H. occidentalis Rumpler, 1975
P. simus (Gray, 1871)

Lemuri-mwanzi (kutoka Kiingereza: bamboo lemur) ni spishi za lemuri wa jenasi Hapalemur na Prolemur katika familia Lemuridae. Kama lemuri wote wanatokea Madagaska tu. Wana manyoya kijivu hadi kahawia. Urefu wa mwili ni sm 26-46 na mkia una urefu sawa au mrefu zaidi. Lemuri-mwanzi mkubwa ni sm 40-50 na ana uzito wa kg 2-2.5. Hula machipukizi, majani na gale za miwani hasa, na pengine nyoga, maua na matunda.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.