Lazaro wa Bethania

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Ufufuko wa Lazaro, Bible Card illustration, 1905.
Ufufuko wa Lazaro ulivyochorwa na Juan de Flandes (1500-1510)

Lazaro (kwa Kiebrania אלעזר, Eleazar au Eliezer) ni mtu anayetajwa katika Injili ya Yohane: aliishi Bethania, kijiji karibu na Yerusalemu, pamoja na dada zake Martha na Maria.

Siku ya nne baada ya kifo chake, alifufuliwa na Yesu, jambo lililofanya wengi wamuamini kuwa ndiye Kristo, lakini pia wapinzani wake waharakishe kifo chake.

Lazaro anaheshimiwa na Kanisa Katoliki, na Waorthodoksi na wengineo kama mtakatifu.

[hariri] Picha

[hariri] Viungo vya nje

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine