LAFamilia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

LAFamilia ni kundi la wasanii ambao wanaishi manispaa ya Ilala.

Baadhi ya wasani ambao wapo kwenye kundi hili ni Chid Benz, Lameck Ditto na wengine wengi. Mara nyingi makundi mengi ya hapa nchini Tanzania huwa hayadumu kwasababu ya kitu wakiitacho Bifu.

Kutokana na muziki wa kizazi kipya

Makala hii kuhusu mwanamuziki/wanamuziki fulani wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu LAFamilia kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.