Kwolu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kwolu
Kwolu madoa (Dasyurus maculatus)
Kwolu madoa (Dasyurus maculatus)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Ngeli ya chini: Marsupialia (Wanyama wanaobeba watoto wao ndani ya pochi ya ngozi))
Oda: Dasyuromorphia (Wanyama kama kwolu)
Familia: Dasyuridae (Wanyama walio na mnasaba na kwolu)
Nusufamilia: Dasyurinae (Wanyama wanaofanana na kwolu)
Jenasi: Dasyurus
É.Geoffroy, 1796
Ngazi za chini

Spishi 6:

Kwolu (kutoka Kiing.: quoll, Kisayansi: Dasyurus) ni wanyama ya Marsupialia wafananao na paka wa Australia na Tasmania mwenye madoa meupe.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu "Kwolu" inatumia neno (au maneno) ambalo si kawaida na matumizi yake ni jaribio la kutafsiri neno (au maneno) la asili quoll kutoka lugha ya Kiingereza. Neno (au maneno) la jaribio ni kwolu.
Wasomaji wanaombwa kuchangia mawazo yao kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala.

Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.