Kungsbacka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mtaa wa Kungsbacka

Kungsbacka ni mji nchini Uswidi. Kuna wakazi 17,784 (mwaka 2005).Mji ulianzishwa 1582.

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Eneo lake ni 9.64 km². Umbali na Jiji la Göteborg ni 28 km.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kungsbacka kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.