Koikoi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Koikoi
Koikoi kijivu
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Ciconiiformes (Ndege kama makorongo)
Familia: Ardeidae (Ndege walio na mnasaba na koikoi)
Jenasi: Ardea (Koikoi)
Linnaeus, 1758
Spishi: Angalia katiba

Koikoi ni ndege wakubwa wa jenasi Ardea katika familia ya Ardeidae wenye miguu mirefu na domo refu na nyembamba. Hupinda shingo yao wakiruka angani. Ndege hawa wana rangi nyeupe, kijivu na nyeusi. Spishi zenye rangi ya kahawiachekundu huitwa pondagundi pia. Spishi nyingine nyeupe kabisa inaitwa msuka. Ilikuwa imeainishwa ndani ya jenasi Egretta mpaka juzi. Koikoi hupenda kula samaki lakini hula wanyama wadogo pia, kama vyura, mijusi na nyoka. Hujenga matago yao kwa matawi juu ya miti.

[hariri] Spishi za Afrika

[hariri] Spishi za mabara mengine

[hariri] Picha

Vifaa binafsi