Knoxville, Tennessee
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Knoxville | |
| Mahali pa mji wa Knoxville katika Marekani | |
| Anwani ya kijiografia: 35°58′22″N 83°56′32″W / 35.97278°N 83.94222°W | |
| Nchi | Marekani |
|---|---|
| Jimbo | Tennessee |
| Wilaya | Knox |
| Idadi ya wakazi | |
| - Mji | 183,546 |
| Tovuti: www.cityofknoxville.org | |
Knoxville ni mji wa Marekani katika jimbo la Tennessee. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao 680,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 270 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Tazama pia [hariri]
| Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Knoxville, Tennessee kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |