Kivu ya kusini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kivu ya kusini ni jimbo moja la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Liko upande wa Mashariki wa nchi likipakana na nchi ya Tanzania na Ziwa la Tanganyika. Mji wake mkuu ni Bukavu.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Kivu ya kusini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kivu ya kusini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi