Kivarisi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kivarisi ni lugha ya Kiaustronesia nchini Visiwa vya Solomon inayozungumzwa na Wavarisi kwenye kisiwa cha Choiseul. Mwaka wa 1999 idadi ya wasemaji wa Kivarisi imehesabiwa kuwa watu 5160. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kivarisi iko katika kundi la Kioseaniki.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kivarisi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.