Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha
English: Arusha International Conference Centre
AnuaniMtaa wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
MahaliArusha, Tanzania
Anwani ya kijiografia3°22′4″S 36°41′46″E / 3.36778°S 36.69611°E / -3.36778; 36.69611
MmilikiSerikali ya Tanzania
OparetaWizara ya Mambo ya Nje
Kilifunguliwa1977
Uwezo
Mtindo wa kukalia darasani25-70
Kukalia Ukumbi160-1,350
Mtindo wa karamu130-2,500
Eneo la ndani
 Jumla ya eneomita za mraba 5,420
Tovutiaicc.co.tz

Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha ni ukumbi wa mikutano wa kimataifa mjini Arusha nchini Tanzania.