Kisiraya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kisiraya ni lugha ya Kiaustronesia nchini Taiwan iliyozungumzwa na Wasiraya. Kufuatana na uainishaji wa lugha wa ndani zaidi, Kisiraya iko katika kundi la Kiformosa-Mashariki.

Kwa muda mrefu Wasiraya waliacha kuongea lugha ya Kisiraya, lugha yao ikatoweka, ila kulikuwa na wazee ambao wanakumbuka maneno machache. Kwa sasa kuna juhudi za kuiokoa na watoto kadhaa wanaweza kusema na kuimba kwa lugha hiyo[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kisiraya kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.