Kishambala

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kishambala (au Kisambaa) ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Washambala. Mwaka wa 2001 idadi ya wasemaji wa Kishambala imehesabiwa kuwa watu 664,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kishambala iko katika kundi la G20.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6

Kitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:

  • Besha, Ruth. 1989. A study of tense and aspect in Kishambala. (Language and dialect studies in East Africa, vol 10.) Berlin: Dietrich Reimer Verlag.
  • Yukawa, Yasutoshi. 1984. A classified dictionary of the Sambaa language. (Asian and African lexicon series.) Tokyo: Institute for the Study of Languages and Cultures of Asia and Africa (ILCAA), Tokyo University of Foreign Studies.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kishambala kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.