Kiparara

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kiparara
Viparara wa Afrika
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Charadriiformes (Ndege kama vitwitwi)
Familia: Rynchopidae (Ndege walio na mnasaba na viparara)
Jenasi: Rynchops
Linnaeus, 1758
Spishi: R. albicollis Swainson, 1838

R. flavirostris Vieillot, 1816
R. niger Linnaeus, 1758

Viparara (au Ndege-msumeno) ni ndege wa bahari wa jenasi Rynchops, jenasi pekee ya familia Rynchopidae (Rhynchops na Rhynchopidae ni tahajia nyingine isio sahihi kwa mujibu wa uainishaji). Ndege hawa wanafanana na buabua lakini wana domo ambalo sehemu yake ya chini ni refu kuliko ile ya juu. Huruka kwa urefu mdogo juu ya maji wakiitia sehemu ya chini ya domo lao majini ili kuwakamata samaki wadogo. Jike huyataga mayai 3-6 kwa pwani za kanda za tropiki na za karibu na tropiki.

Spishi ya Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]