Kipangwa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kipangwa ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wapangwa. Mwaka wa 2002 idadi ya wasemaji wa Kipangwa ilikuwa watu 95,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kipangwa iko katika kundi la G60.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6

Kitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:

  • Stirnimann, Hans. 1983. Praktische Grammatik der Pangwa-Sprache (SW-Tanzania) / Indaki cha luchovo lwa vaPangwa. (Studia ethnographica friburgensia, Bd 10.) Freiburg (Schweiz): Universitätsverlag. Kurasa 245. [ISBN 3-7278-0280-4]
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kipangwa kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.