Kimaiwa (Indonesia)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kimaiwa ni lugha ya Kiaustronesia nchini Indonesia inayozungumzwa na Wamaiwa kwenye kisiwa cha Sulawesi. Mwaka wa 1990 idadi ya wasemaji wa Kimaiwa imehesabiwa kuwa watu 50,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kimaiwa iko katika kundi la Kisulawesi-Kusini.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kimaiwa (Indonesia) kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.