Kilwa Masoko

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kwa matumizi mengine ya jina hili tazama Kilwa


Kata ya Kilwa Masoko
Nchi Tanzania
Mkoa Lindi
Wilaya Kilwa
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 21,519
Muonekano wa uwanja wa ndege wa Kilwa_Masoko

Kilwa Masoko ni mji mdogo katika Tanzania ulio makao makuu ya Wilaya ya Kilwa tangu miaka ya 1960.

Iko barani ikitazama Kilwa Kisiwani. Mji ni wa kisasa. Kuna uwanja mdogo wa ndege pia bandari ndogo yenye kituo cha forodha.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 21,519 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 13,601. [2] walioishi humo.

Msimbo wa posta ni 65408.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.nbs.go.tz/
  2. "Sensa ya 2012, Lindi - Kilwa DC". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2004-01-02. Iliwekwa mnamo 2016-06-04. 
Kata za Wilaya ya Kilwa - Mkoa wa Lindi - Tanzania

Chumo | Kandawale | Kibata | Kikole | Kinjumbi | Kipatimu | Kiranjeranje | Kivinje | Lihimalyao | Likawage | Mandawa | Masoko | Miguruwe | Mingumbi | Miteja | Mitole | Namayuni | Nanjirinji | Njinjo | Pande | Somanga | Songosongo | Tingi


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Lindi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kilwa Masoko kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.